Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makapuku wenzangu naomba kuuliza ...kweli watacheza wazungu au wadada zetu ni wabaya kuwekwa kwenye tangazo???
1477921017996.jpg
 
Makapuku wenzangu naomba kuuliza ...kweli watacheza wazungu au wadada zetu ni wabaya kuwekwa kwenye tangazo???View attachment 427271
Huu ufala....ni sawa na kuweka picha ya Rinaldo utangaze ligi ya Vodacom
Wamewakosea sana dada zetu
Kweli Tz Taifa la ovyoovyo

Wameshindwa hata kuGoogle picha za kina Ester Chabruma"Lunyamila"
...
 
Vumilia tu usihame hiyo ndio team yako tu pogba mpeni muda atafanya vyema tu
Sisi chelsea msimu uliopita hali ilikua mbaya nafasi ya 10 ilikua aibu kubwa sana
Mpeni muda mourinho
Lakini pia aache kuwasema vibaya wachezaji
sihami ng'oo.

ila Pogba sidhani kama atabadilika na kuwa "mchezaji nyota" yeye atabaki kuwa "mchezaji ghali".
 
siku zote hizo mlikuwa wapi??wanadharau sana wale utafikiri wanajua kila kitu wakati hamna anajua kila kitu??huku Makapuku ndo penyewe kuna udambwidambwi wa kila aina utake nn ukoseee.....mwenye sauti nzuri aendelee bhasi Makapuku Mbele kwa mbele......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom