MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,456
- 69,340
Siasa imetawala Kila kitu huku kwetu.
Sokomoko kitambo
Limechakachuliwa siku hizi km gazeti la KIU tuHivi gazeti la Sani bado lipo?
Lilikuwa lina raha yake sana.
Nalionaga onaga aiseeHivi gazeti la Sani bado lipo?
Lilikuwa lina raha yake sana.
Hii pic lazma ina uchawi...we mkongo umetuletea uchawi wa Gome eeh?
Mambo undercover FBI agent
Limechakachuliwa siku hizi km gazeti la KIU tu
Linaandika udaku
......
Af wewe, huo ujauzito unakusumbua???Hii pic lazma ina uchawi...we mkongo umetuletea uchawi wa Gome eeh?
Nalionaga onaga aisee
Eti wameliweka rangi rangi kibao
Siku hizi ni upuuzi mtupu.!!!!SANI lilikuwa na waandishi wabunifu sana. Nilikuwa nategemea litakuwa gazeti kubwa baadae.
Nakumbuka Zena na Betina, kifimbo cheza, madenge, ndumilakuwili na kipepe nilikuwa siwakosi.
Profesa NdumilakuwiliSANI lilikuwa na waandishi wabunifu sana. Nilikuwa nategemea litakuwa gazeti kubwa baadae.
Nakumbuka Zena na Betina, kifimbo cheza, madenge, ndumilakuwili na kipepe nilikuwa siwakosi.
Unanisumbua nikugande weweAf wewe, huo ujauzito unakusumbua???
Mi mzima wewe je?...kweli hadi nakusahau maana unaadimika mnoo. Nimemiss mambo yako aisee πSweetiepie mzima mama? Hatujasomana kitambo.
Natumai wewe mzima.
πππ
Rangi kitu gani wkt ubunifu/burudani ZEti wameliweka rangi rangi kibao
MambowUnanisumbua nikugande wewe
Pimbi mzee wa
.......
Hata sijuiHivi gazeti la Sani bado lipo?
Lilikuwa lina raha yake sana.
Alikuwa anasumbuliwa na nux tuNakumbuka bwana Pimbi hajawahi kufanikisha mishe hata moja. Alikuwa anapenda kuhonga hadi huruma.