Makapuku Forum

Mpira wa kibongo zengwe Kila sehemu
Wkt Ulaya mtu anapigwa 8
Pia mechi 1 kipa/beki anafungisha bao 2+ mfano Smalling dhidi ya Chelsea sekunde tu ya 34 kaichoma timu ingekuwa Bongo maneno mengi
Pia goli la kujifunga dk ya majeruhi la Paddy McNair(Sunderland) dhidi ya Man City
John Stones v Southampton
Fellaini v Leicester (community shield)
.....
 
Tatizo huku tunatafuta mchawi nani. Halafu hizi timu kubwa mbili ndio matatizo sana.


Kwa ulaya wanajua Ni sehemu ya mchezo ndio maana wameendelea sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…