Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order...
Mimi na kiherehere changu nikasema.. Chapati .. Maziwa na ovacado tatu ...
Nimewekwa kwa karoom kengine hapa kanagiza..
i think wananiandalia chapati.

Huwa sipendi ujinga kwenye misosi ya bure.

 
Leo Katika Historia:

1922 - Benitto Mussolini na kundi lake wanaongoza maandamano makubwa ndani ya Jiji la Rome na kuiangusha serikali iliyokuwa madarakani.

Baada ya hapo, Mussolini anaingia madarakani na kutawala kwa mkono wa chuma.
Screenshot_2016-10-28-08-49-24.png
IMG_20161028_085135.jpeg
IMG_20161028_085148.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom