Makapuku Forum

[emoji23] [emoji23] [emoji23] bila kutarajia!!!
 
Nataka kwenye hatua za mitoano Arsenal akutane na Barcelona, Madrid au atlentico.
Kazi fitna tu, haya ndi tukishakutana nao.. Labda barca na atletico kidogo, madrid ishakuwa supu ya mbwaa

Halaf bahat mbaya sasa madrid na barcelona wanamalza nafas za kwanza kwenye makundi yao, arsenala nae ana nafasi nzur ya kumalza nafas ya kwanza, mchawi psg tu hapa kwenye game ya mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…