briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Babati kumechangamka kibiashara kuliko hata singida lakini miundombinu ya majengo mazuri na kwenyewe badoMimi naona Babati inakuja kwa kasi sana
Babati kumechangamka kibiashara kuliko hata singida lakini miundombinu ya majengo mazuri na kwenyewe badoMimi naona Babati inakuja kwa kasi sana
Haha ni kweli mkuu hela inaishia tu hazina haizunguki kama awamu ya nne.. Mifuko inatoboka.. [emoji4][emoji4]Njema awamu ya tano inafanya niadimike
Ni kwema sana brazaVipi lkn kwema huko?
Pia mkoa ulisahaulika ila awamu hii ya viwanda tutaona mabadilikoSidhani kama ni teknokojia imechelewa singida ila hakukuwa na uwekezaji mana wataalam wa ujenzi hata kama wapo nje ya singida lakini wanajenga popote tu
YapOk lakini umenipata sio? Mana kiswahili ni kipana sana na maneno mengi yanashabihiana
Na mm natakiwa kurudisha niliyokuwa nimepewa ya kuzimia mwenge [emoji15]Haha ni kweli mkuu hela inaishia tu hazina haizunguki kama awamu ya nne.. Mifuko inatoboka.. [emoji4][emoji4]
Basi Mungu ashukuriweNi kwema sana braza
Usiione Singida tu bado Katavi na Songea bado uchumi ni tatizoNadhani pia uchumi wa singida nao ulipeleekea hii hali na wawekezaji wakashindwa kufika singida
Na kwako pia nduguJioni njema makapuku
Awamu hii moto utawaka mifukoni mwa watumishi wa umma kwa kukosa poshoNa mm natakiwa kurudisha niliyokuwa nimepewa ya kuzimia mwenge [emoji15]
Nawe mzima?Basi Mungu ashukuriwe
KweliUsiione Singida tu bado Katavi na Songea bado uchumi ni tatizo
Hahaha mbona huwa hawarefuki?? Kuanzia kitambo vyenyewe viko hivyo hivyo [emoji23][emoji23]Wajna na Tom wamezeeka kinoma
Mchango wa pensheni yao wandugu
Pia mkoa ulisahaulika ila awamu hii ya viwanda tutaona mabadiliko
Pia ardhi ya singida imekauka sana japo inafanya poa kwa alizeti... Afu wenyeji wa singida ni mamwinyi sana kama wa taboraNadhani pia uchumi wa singida nao ulipeleekea hii hali na wawekezaji wakashindwa kufika singida
Robo 3 ya mkoa huu ni ardhi ya kichanga isiyofaa kwa kilimo, kasoro eneo la kaskazini lililopakana na Hydomu ndiko ardhi ni nzuri sana, miundombinu hafifu imechangia kudorora kwa hali za uchumi za wakaazi wakeNadhani pia uchumi wa singida nao ulipeleekea hii hali na wawekezaji wakashindwa kufika singida
Haha pole ndugu, kwani ulishahonga?Na mm natakiwa kurudisha niliyokuwa nimepewa ya kuzimia mwenge [emoji15]
Kuhangaika=hujui cha kufanya unagusa hili na lile.Ok lakini umenipata sio? Mana kiswahili ni kipana sana na maneno mengi yanashabihiana
Yaani nilivyoambiwa tu kuna posho...nikaanza kuupanga mchepuko...Haha pole ndugu, kwani ulishahonga?
Labda alipewa uch kwa mkopo so kaenda kulip..Haha pole ndugu, kwani ulishahonga?
Sasa imekula pande yakoYaani nilivyoambiwa tu kuna posho...nikaanza kuupanga mchepuko...