Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,735
- 26,079
Ni sawa hvyo tukiujumuisha mkoa mzima wa Manyara wanakuja vizuri kwa kweliKaratu ni nzuri kuliko Babati
Ni sawa hvyo tukiujumuisha mkoa mzima wa Manyara wanakuja vizuri kwa kweliKaratu ni nzuri kuliko Babati
Kweli kabisa, tatizo nguvu kubwa (Vijana) wengi wanakimbilia sana Mwanza na Arusha hilo ni tatizoUsipojipenda ww kwanza mwenzako hatakupenda.
Inabidi ujipende ww kwanza ndipo uwapende na wengine
UsiwakumbushePia Kagera
Kwa nini haihesabiwi?Ground floor haihesabiwagi
Lile jengo ni ghorofa 3
Ni kwel majority wako town na wanaonekana kama wamepasusa kwao tu.Kweli kabisa, tatizo nguvu kubwa (Vijana) wengi wanakimbilia sana Mwanza na Arusha hilo ni tatizo
Singida walitengwa kimiundo mbinu miaka 48 tangu uhuru ingeendelea je wakuu!!!Mbeya toka miaka ya 2000 ni jiji tofauti na Singida.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kuna jambo walitafuta sio bure.[emoji2] basi Kagera
Bado sanaMimi naona Babati inakuja kwa kasi sana
Inabebwa na ngorongoro na serengeti routeKaratu ni nzuri kuliko Babati
Ndo utaratibu ulivyo.Kwa nini haihesabiwi?
Magugu huwa inamchanganyaBado sana
Magugu kweli inakuja juuMagugu huwa inamchanganya
Sababu hapo chini ni localKwa nini haihesabiwi?
Mimi ni kitengo changu hichoNdo utaratibu ulivyo.
Ila kama haujaridhika na jibu langu, basi muulize mtu mwngine uone atakavyokujibu
[emoji12] natamani niendelee kuku-challange ila naona niishie hapa hapa tu[emoji2] [emoji2] [emoji2] kuna jambo walitafuta sio bure.
Kagera kijiografia haina matetemeko ya mara kwa mara kama Singida.
Ule mkoa kila mwezi ni lazima matetemeko zaidi ya matatu yatikise ardhi ile.
Wanadai wanatafuta maisha mazuri mbali na familia zaoNi kwel majority wako town na wanaonekana kama wamepasusa kwao tu.
[emoji2] sasa sijui ni starehe zip wanogea au nn!
Sawa mtu wa surveyMimi ni kitengo changu hicho
Endelea tu[emoji12] natamani niendelee kuku-challange ila naona niishie hapa hapa tu
Siyo tatizo ila wanachokipata wakirudishe na nyumbani japo 20% tuWanadai wanatafuta maisha mazuri mbali na familia zao
Hv kama Singida inakunbwa matetemeko ya mara kwa mara, mbona sijawahi kuona/kusikia athar zozote zikitokeaEndelea tu