shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Kwema, vp huko kwenu Milembejamani humu kwema????
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwema, vp huko kwenu Milembejamani humu kwema????
Lete urojo..Ok poa poa ngoja nicheki na TUKI pia niongezee nyama
Kweemajamani humu kwema????
AjeKwema de kitabu, karibu ushushe nondo sasa
Bado hajarudi tu, taarifa ya mwisho alikuwa kwenye visiwa huko anakula raha tu
[emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18]Kumbe wewe ni injinia!
Anakula vibikira eeeBado hajarudi tu, taarifa ya mwisho alikuwa kwenye visiwa huko anakula raha tu
Una akili kuweka hili jukwaaHabari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake
Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.
Karibu sana
Bitoz
JF Makapuku Founder
Jimena
JF Makapuku assistant Founder
Th Name JF Makapuku assistant Founder
Isanga..hahahaKwema, vp huko kwenu Milembe
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wao wanajazana tu arusha wanapaacha kwao panateketeaPia ardhi ya singida imekauka sana japo inafanya poa kwa alizeti... Afu wenyeji wa singida ni mamwinyi sana kama wa tabora
UchumiDuh! hii imetokana na nini?
Nawe piaJioni njema makapuku
Amehonga amekula k...ngoja naye ataliwa juma popo maduhu jpmHaha pole ndugu, kwani ulishahonga?
Subiri juma papai mapunda jpm atachepuka na weweYaani nilivyoambiwa tu kuna posho...nikaanza kuupanga mchepuko...
Hii Habari ipoje???
Dili zuri.View attachment 417546View attachment 417548View attachment 417549
Chelsea yasaini [emoji818] (Nike)
15 yrs mkataba kuanza next season
...........
Nike na Adidas wanaviziana tuDili zuri.