Makapuku Forum

Silaha yake kubwa mlozi ni kusingizia amefanya au anafanya kila kitu
*artheism
*Mambo ya magari
*Buddhism
*Mochwari
*Kiwandani
*Biashara
*Ulozi
n.k
Yaani akipingwa au akitaka kuchangia mada anazuga kwamba kabobea kwenye hicho kitu matokeo yake anajisahau na sasa keshataja fani zaidi ya 10
Mi nimemshtukia kwamba mwongo tu hukopi vitabu na hajui mambo ya ziada ndo maana kukopi historia anayoleta Mussolin anachemsha na kuvurunda tu

Hivyo "Katanga" kuizima tunguli ilikuwa simple
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…