Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1852 - Chuo Kikuu cha Sydney chaanzishwa.

Ndio chuo kikongwe nchini Australia.
IMG_20161011_115321.jpeg
IMG_20161011_115306.jpeg
IMG_20161011_115335.jpeg
 
1986 - Marais Ronald Reagan wa Marekani na Michail Gobachev wakutana kujadili mustakabali wa kumaliza vita baridi.

Rais Ronald licha ya kuwa Mwanasiasa pia alikuwa ni muigizaji maarufu wa movie.

Ndiye Rais wa mwisho kunusurika kuuwawa baada ya kupigwa risasi iliyompata kwenye Mbavu lakini hakufa.
 
1986 - Marais Ronald Reagan wa Marekani na Michail Gobachev wakutana kujadili mustakabali wa kumaliza vita baridi.

Rais Ronald licha ya kuwa Mwanasiasa pia alikuwa ni muigizaji maarufu wa movie.

Ndiye Rais wa mwisho kunusurika kuuwawa baada ya kupigwa risasi iliyompata kwenye Mbavu lakini hakufa.
IMG_20161011_120805.jpeg
IMG_20161011_120756.jpeg

With Gorbachev
Screenshot_2016-10-11-12-07-38.png
Murder attempt
......
 
1986 - Marais Ronald Reagan wa Marekani na Michail Gobachev wakutana kujadili mustakabali wa kumaliza vita baridi.

Rais Ronald licha ya kuwa Mwanasiasa pia alikuwa ni muigizaji maarufu wa movie.

Ndiye Rais wa mwisho kunusurika kuuwawa baada ya kupigwa risasi iliyompata kwenye Mbavu lakini hakufa.
Rais halafu mcheza muvi! Nimeipenda hii.....Ila yule jamaa aliemdungua Kennedy alikuwa noma!
 
Back
Top Bottom