Makapuku Forum

Makapuku Forum

Msome umuelewe huyo mwanazuoni
Ukipata wasaa wa kuzungumza/kuongea na mzee yoyote, muulize kuhusu historia ya nchi yetu na ubaguzi waliokuwa wanafanyiana watu weusi zidi ya mzungu, utashangaa sana na hautaamini

Na zamani wazee wetu walikuwa na akili sana, changamoto za shule walikosa na walikuwa na misimamo sana

Na kama eneo fulani likionekana ni wajuaji wengi, mkononi hatii mguu
 
1928 - Didi anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil.

Ameshinda Kombe la Dunia akiwa na Brazil mara mbili, Mwaka 1958 na mwaka 1962.

Katika mashindano ya kombe la dunia la mwaka 1958 yalifanyika pale Sweden, Didi alichaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Mashindano hayo. Brazil hiyo ilikiwa na kijana wa miaka 17 aliyeiteka Dunia, alikuwa ni Pele.
Screenshot_2016-10-08-10-14-21.png
Screenshot_2016-10-08-10-15-50.png
IMG_20161008_101657.jpeg
 
Back
Top Bottom