MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,114
HahahahahaUkuti wa nazi
HahahahahaUkuti wa nazi
Haswa...Na vitabu hamna na vikiwepo hatusomi[emoji134]
Poa poa Shemtibuko, mishe zinaendaje lakini?Tuko poa briz
Ukipata wasaa wa kuzungumza/kuongea na mzee yoyote, muulize kuhusu historia ya nchi yetu na ubaguzi waliokuwa wanafanyiana watu weusi zidi ya mzungu, utashangaa sana na hautaaminiMsome umuelewe huyo mwanazuoni
Kashakufa nadhani.Aliyeturoga ndo keshakufa na kafa uchawi wake [emoji4] [emoji4]
Halafu tumeona uwongo ni kitu cha kawaida!!!.....na kuutetea uwongo!!![emoji134]Uongo umeanza kitambo ndio maana hata sasa wanasiasa wetu ni miongo tu
Ni poa sana am missing youPoa sweetheart habari ya weekend
Mkuu majukumu ya huko yataisha lini natamani nikuunge mahali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jibu mujarabu kabisa
6Una kids ngapi?
Huyu jamaa anajifanya BalotelliKachokaaaa km papai liliokaa juani
Usimuite Juma wa mamiddle finger ataharibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nshakaribia ankali, kwema pande hizo?Poa, karibu briz
Shemtibuko anatibua mambo tyuuuPoa poa Shemtibuko, mishe zinaendaje lakini?
ila sio leo wala kesho.Nafikiri utafika wakati historia tutainyoosha, baada ya kizazi cha uongo kikifa
Wikend wap kapuku?Shwari Kapuku mwenzetu
Mkuu hilo sio jibu bali ni swali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jibu mujarabu kabisa
Muzee ya Goma, niaje pande hizo?Powa dr.
1928 - Didi anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil.
Ameshinda Kombe la Dunia akiwa na Brazil mara mbili, Mwaka 1958 na mwaka 1962.
Katika mashindano ya kombe la dunia la mwaka 1958 yalifanyika pale Sweden, Didi alichaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Mashindano hayo. Brazil hiyo ilikiwa na kijana wa miaka 17 aliyeiteka Dunia, alikuwa ni Pele.
Endelea kufyatua ILA wasiwe chokoraa
Furaha teleMuzee ya Goma, niaje pande hizo?
Morogoro mkuuWikend wap kapuku?