Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
Pamoja kiongozi.Asante mkuu mussolin kwa leo katika historia bora kabisa
Pamoja kiongozi.Asante mkuu mussolin kwa leo katika historia bora kabisa
Amen.Asante sana mwenyekiti
Kila la heri katika kuitakasa sabato
Hidtoria yetu haiko sahihi, waliopigania nchi hii hawatajwi ila wababe na wajanja ndo wamepewa heshimaNi kweli kabisa, Che Guevara ni mzaliwa wa Argentina lakini kwa mchango wake mkubwa alioufanya nchini Cuba, amezikwa huko Cuba kwa heshima zote.
Hii ni kudhihirisha watu wanajali na kuthamini nini umewafanyia na hawajali umetokea taifa gani?
Huku kwetu Dunia ya tatu, Watanganyika na Wazanzibar wamemfuta kwenye historia yao, kiongozi wa Mapinduzi mataukufu ya Zanzibar, Field Marshall John Okello eti kisa ni Raia wa kigeni, Ujinga ulioje??
Wanatuaminisha Karume ndio baba wa mapinduzi yale ya Januari 12 mwaka 1964. Upumbavu ulioje??
Kumbe wewe humjui vizuri, Haruna Moshi Shaban Mawela Boban?Kumbe anavuta bangi?
Pheeew....finally sis...View attachment 414394View attachment 414395
Karibuni sana katika kuperuzi magazeti yaliyotufikia asubuhi ya leo
Kweli mkuuWanadamu wanavitaka na Muumba anavitaka
Mzima, za hukoShululu mzm!
Sio mbaya anajitambulishaThe Book yupo kwenye uzi wake wa kutuma salamu kwa watu watatu hahahahaha
Kwa bangi tu anatisha sanahahaha...Wabongo wanapenda Ujinga. Boban wetu yeye ni mtaalam wa Bangi.
Mkuu una maana ganiMuhogo tatizooo
Uongo umeanza kitambo ndio maana hata sasa wanasiasa wetu ni miongo tuYaani!!!.....sijui tuna shida gani!!!
Sijui nani alituroga?Hidtoria yetu haiko sahihi, waliopigania nchi hii hawatajwi ila wababe na wajanja ndo wamepewa heshima
Hata babu yangu kapigana vita ya Kagera hajatajwaHidtoria yetu haiko sahihi, waliopigania nchi hii hawatajwi ila wababe na wajanja ndo wamepewa heshima
Historia yetu imewazima na kuwasahau watu wengi sana katika Taifa hili eti tu labda walitofautiana na Waasisi wa Taifa hili kipindi hiko.
Mchango wa Oscar Kambona umesahaulika kabisa. Bila Kambona, mwalimu asingeendelea kuwa Rais wakati Jeshi lilipoasi Mwaka 1964 na Mwalimu kuamua kujificha zake Kigamboni akishindia mapapai.
Ni aibu sana kwa Taifa kuwasahau watu wa aina ya Kambona, Jumbe na wengineo.
Hapo bado sijakuelewa vizuriSijasema aliuwawa, ila Urais wa 1985 uligharimu Maisha yake.
Kwani laiti angelikuwa mzima sidhani kama kuna mtu angeweza kupambana nae kwenye Urais na isitoshe tayari alikuwa chaguo la Mwalimu.
Sasa sijui ile ajali ilitokea au ilipangwa hapo sijui kwakweli.