Makapuku Forum

Makapuku Forum

View attachment 414095
images
images
images


KWANINI WAAFRIKA NI MASIKINI??????????????????????
UBINAFSI!!!

Unajua maana ya Africa???

Maana yake ni cave-Pango!!!
So tunaishi Pangoni
 
Ungesema anaficha/anazuia hisia za kukasirika pindi akiwekwa benchi...hakuna asiyekasirika akipelekwa benchi

Jamaa pia siyo domokaya haongeiongei(tunaita kuinamisha kichwa chini)
Mwingine ni Martial
................
..............
Vere vere displinidi pleya
 
Muhindi mmoja alisilimishwa na sheikh akamwambia kila unapokula usisahau kusema Bismillah la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kusema Bismillah kwa miezi 2 ,basi shetani akamfuata sheikh akamwambia mkumbushe muhindi kusema Bismillah maana ataniuwa kwa pili pili!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom