Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
hapa hapa Afrika,sijui nchi ganiWapi hii???![]()
hapa hapa Afrika,sijui nchi ganiWapi hii???![]()
Poa, vip kaka..Makavel 10 mambo vp!
UBINAFSI!!!


![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimecheka sana, jamaa amekushukuru naona umehis kakwambia vibaya ukaamua kumrudishia

Sasa kwa mazingira yale unakoseaje!!kumbe nilipatia
lazima ningepatiaSasa kwa mazingira yale unakoseaje!!
Hapana wamemgundua aina ya nyoka aliyemlaghai adam..COPIED
Android phones can be so annoying. How do I explain it? I just received a notification that my Bible App needs update. Please what does the Bible need update for? Has Adam eaten another apple![]()

Chile bhana, hili chama hata silielew
View attachment 414073 mbwa wangu wawaipendi ccm!!! Mwone Kigli aliponitembelea![]()
Vere vere displinidi pleyaUngesema anaficha/anazuia hisia za kukasirika pindi akiwekwa benchi...hakuna asiyekasirika akipelekwa benchi
Jamaa pia siyo domokaya haongeiongei(tunaita kuinamisha kichwa chini)
Mwingine ni Martial
................
..............
Fresh tu, vip weweHabari za leo Makapuku
Hhmmm... Spd hyo si masihara.. Atapona mtu kweli!!Af now speed imefika km.220/h
Akili ni nywele.. Anakusanya mpunga kilaini..
Who's she???View attachment 414106bitoz msamehe

Dispersion of colour, physics ya form 2 au 3.
Muhindi mmoja alisilimishwa na sheikh akamwambia kila unapokula usisahau kusema Bismillah la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kusema Bismillah kwa miezi 2 ,basi shetani akamfuata sheikh akamwambia mkumbushe muhindi kusema Bismillah maana ataniuwa kwa pili pili!![]()
![]()
![]()
