Makapuku Forum

Makapuku Forum

View attachment 414095
images
images
images


KWANINI WAAFRIKA NI MASIKINI??????????????????????
Because tuna akili fupi

Jiulize kwanini wazungu walikuja kwetu kututawala badala ya sisi kwenda kwao kuwatawala......waligundua mapema kwamba hatuna akili
...............
 
Muhindi mmoja alisilimishwa na sheikh akamwambia kila unapokula usisahau kusema Bismillah la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kusema Bismillah kwa miezi 2 ,basi shetani akamfuata sheikh akamwambia mkumbushe muhindi kusema Bismillah maana ataniuwa kwa pili pili!
Kama nauona vile msos wa wahindi...

Hongera kwa 117k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom