2001 - Vita dhidi ya Ugaidi duniani vyaanza rasmi.
Hii ilitokana na shambulio la September 11, ambapo Marekani ilianza kushambulia kambi za Al Qaeda huko kwenye milima ya Torabora.
Fox kumbe ya kitambo sana1996 - Chaneli ya Fox yaanza kurusha matangazo yake.
Kazidiwa na Kingunge mwaka mmoja1931 - Desmond Tutu anazaliwa.
Ni askofu na mwanaharakati kutoka nchini Afrika Kusini.
nilijua DIDA wa Yanga kumbe orijino1973 - Dida anazaliwa.
Ni golikioa wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Brazil.
Pia ni mwanamichezo na mchezo wake anaoupenda sana ni JUDO1952 - Vladmir Putin anazaliwa.
Ni Rais wa 4 wa Urusi. Ni mmoja kati ya viongozi imara wanaoifanya Urusi kuendelea kuwa Imara mpaka sasa.
Alipata kuhudumu katika Jeshi la Urusi na kufikia cheo cha Kanali.
Pia ni moja kati ya majasusi mahiri kuwahi kutokea katika historia ya KGB.
Pia anasifika kwa Martial arts.
Ili wakongo msimudu gharama za tiketiKwanini yalianzishwa tarehe na mwezi mmoja???
Jamaa alikuwa anajua kukaba, hata fainali za kombe la Dunia nchini Japan aliing'arisha sana Brazil upande wa kiungo1976 - Gilberto Silva anazaliwa.
Ni kiungo wa kukaba wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Brazil.
Alikuwa anajulikana kama " Ukuta usioonekana "
Sasa ni kingongo1982 - Jermain Defoe anazaliwa.
Straika wa zamani wa Spurs, Portsmouth, West Ham kwasasa Sunderland na timu ya taifa ya Uingereza.
Anasifika kwa mashuti na spidi awapo uwanjani.
1931 - Desmond Tutu anazaliwa.
Ni askofu na mwanaharakati kutoka nchini Afrika Kusini.
Ebhana, fresh sana ndugu yangu.. Vip pande za huko!?Sie wazima ndugu, niaje bro?
Kafanyaje???Huyu mukongo naye
Magaid wote hao wa juu naona wamezisaidia nchi zao kupiga hatua..Ila aliifanya german kupiga hatua ugaid wake upande wa pili ulisaidia
Kama JMK1952 - Vladmir Putin anazaliwa.
Ni Rais wa 4 wa Urusi. Ni mmoja kati ya viongozi imara wanaoifanya Urusi kuendelea kuwa Imara mpaka sasa.
Alipata kuhudumu katika Jeshi la Urusi na kufikia cheo cha Kanali.
Pia ni moja kati ya majasusi mahiri kuwahi kutokea katika historia ya KGB.
Pia anasifika kwa Martial arts.