Makapuku Forum

Hapo si ndio walikua wanajenga hostel na mkulu alisisitiza ujenzi uishe ndani ya miezi sita? Mara ya mwisho nlipaona kipindi wanachimba msingi
Sio hapo....hapo ni km unatokea Ubungo unaelekea Mlimani City ndo lipo katikati ya. Chuo na Mlimani City

Jengo unalolisema nahisi ni lile linalojengwa kwenye kiwanja kidogo cha Moira sehemu kabla hujafika getini tena bado halijakamilika
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…