Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Mfano hii nilipiga kelele ikawa noma ndo jamaa akaandika jina langu km source
Bora nianzishe yangu
...........
A real AfricanJaman mkongo huyo demu wako wa kati ni Superblack!!
Shwari, niaaaje?za saizi wakuu??
blog ya nani?View attachment 412718
Mfano hii nilipiga kelele ikawa noma ndo jamaa akaandika jina langu km source
Bora nianzishe yangu
![]()
![]()
...........
poaShwari, niaaaje?
Mukongo habari ya fasi ya kalemiiShwari, niaaaje?
Ca va!!!Shwari, niaaaje?
Ww anzisha tu, alafu leta link hapa tutakuja kuchangia sisi sisi wenyewe..Kule wanapeana kick wakongwe nyuzi akianzisha mkongwe wanajua kupiga stori tena hazihusiani na mitindo ......akianzisha wasiyemjua ht km kaandika nondo hawachangii
Sitegemei kuanzisha tena thread kule
![]()
![]()
![]()
.......
Utachangia na kujaza pumba tu wwWw anzisha tu, alafu leta link hapa tutakuja kuchangia sisi sisi wenyewe..
sir

Utachangia na kujaza pumba tu ww
Km![]()
sir
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
......
......
mimi pia ni tozi nyangema, hvyo pia najua kutupia + Mitupia
Billy5 ndio the namenimepita huko mwanzo wa uzi kuanzia page 1-100.kuna watu siwaoni humu,wamekimbilia wapi?@Bailly5 @Th Name n.k
okay,yuko wapi haonekani humuBilly5 ndio the name
Hayo ya juu sio kungu kweli?View attachment 412682haya ndo yenyewe haya.
Utamu mpaka uchogoni.
Bila jusahau na shokishoki.
View attachment 412684