shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ngoja nipe muda nitatuma hapa hapaLeta data kamili....mi ninazo hizo za hao wa3 sababu ndo wanawania Player of the month(atachukua De Bruyne km vp Coutinho)....
........
Ngoja nipe muda nitatuma hapa hapaLeta data kamili....mi ninazo hizo za hao wa3 sababu ndo wanawania Player of the month(atachukua De Bruyne km vp Coutinho)....
........
Kumbe chogo hadi ana sanamu yake!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jamaa yangu naye alifanya hivyo hivyo


Ndio na mimi ndio maana kuepusha complications zisizo za ulazima na kudhihakiwa, huko huwa sikanyagi kabisaaa.Kule wanapeana kick wakongwe nyuzi akianzisha mkongwe wanajua kupiga stori tena hazihusiani na mitindo ......akianzisha wasiyemjua ht km kaandika nondo hawachangii
Sitegemei kuanzisha tena thread kule
![]()
![]()
![]()
.......
Nimeongelea "wenye nafasi kubwa"Walcott wamemtoa?
Msimu ujao nikienda Landani inabidi nitafute sanamu ya chogo.Japo mimi Man Utd lkn chogo + Bergkamp nawakubali....ningefika London ningefanya hivyo pia
......
Salama mzima?za saizi wakuu??
Tunachoongelea ni assist + goals
Sio janga sababu tuna lugha yetuKimombo ni janga la Taifa
Nitumie bathii?Yah,
Kama ushawahi kuskia matofaa. Ndo hayo.
They are from znz only
De Bruyne atachukuaIla juzi kwenye Monday football,Chris na Walcott ndio ulikuwa mjadala, Hazard hajapaform
mi mzimaaaaaSalama mzima?
Mkuu inakuwaje unarusha uchi wa abiria wenzio?![]()
![]()
![]()
![]()
aisee
Eti eh?Sio janga sababu tuna lugha yetu