briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Ni poa sanaza saizi wakuu??
Ni poa sanaza saizi wakuu??
Sasa inabidi thread zako uzitafutie haki miliki kabisa, pesa madafu...View attachment 412718
Mfano hii nilipiga kelele ikawa noma ndo jamaa akaandika jina langu km source
Bora nianzishe yangu
![]()
![]()
![]()
...........


Weka pichamimi pia ni tozi nyangema, hvyo pia najua kutupia + Mitupia
Nshakaribia mkuu, habari ya wewe?Briz karibu
Poa mzeiya wa ku-ccMukongo habari ya fasi ya kalemii
Ca va bien mon ami, et toi?Ca va!!!
Mbona huja hapa mara chache?okay,yuko wapi haonekani humu
Poa sanaNshakaribia mkuu, habari ya wewe?
Ca va bienCa va bien mon ami, et toi?
Ankali vpNi poa sana
Zungumzia na kufurahia waliopo sasa......Hii thread ni km daladala watu wanaingia na kutoka kwa utashi wao wenyewenimepita huko mwanzo wa uzi kuanzia page 1-100.kuna watu siwaoni humu,wamekimbilia wapi?@Bailly5 @Th Name n.k
okay nimekuelewa mkuuZungumzia na kufurahia waliopo sasa......Hii thread ni km daladala watu wanaingia na kutoka kwa utashi wao wenyewe
Hao usiwaona wapo humuhumu JF wanazururazurura na sisi tunaendelea na mambo yetu coz kila siku wanaingia wapya na hakuna anayewakumbuka waliosepa na thread inazidi kupata
.......................
Ndo maana kuna kauli mbiu "no shobo,no ufagio,no supastaa"okay nimekuelewa mkuu
Merci Papaa, bonne nuitCa va bien
OuiMerci Papaa, bonne nuit
Dawa kutoanzisha zingineSasa inabidi thread zako uzitafutie haki miliki kabisa, pesa madafu...![]()
Weka picha
NmekuPmDawa kutoanzisha zingine
Siyo rahisi kudhibiti wazee wa kukopi
..........
Nawaza janga la njaa huku Afurika...unawaza nini ukiona PICHA kama hii??
![]()