Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mbona inajulikana.....hapa kisichoruhusiwa ni kashfa/matusi tu au picha za masokwe/kutishana mfano mtu aliyeuawa au mafuvu pamoja na picha za uchi(kuonesha uke/uume). ...makalio siyo sehemu ya siri

Mtu km hawezi utani hapa hapamfai....aende Polifix Forum

.............
Mimi mwenyewe napenda utan...japo siku za mwanzo nilikuwaga na mapovu hatari yasiyo na tija...ila siku hizi nimegundua huu mchezo hauitaji hasira..
 
Mbona inajulikana.....hapa kisichoruhusiwa ni kashfa/matusi tu au picha za masokwe/kutishana mfano mtu aliyeuawa au mafuvu pamoja na picha za uchi(kuonesha uke/uume). ...makalio siyo sehemu ya siri

Mtu km hawezi utani hapa hapamfai....aende Polifix Forum

.............
Unasema nini sio sehem za siri
Hebu weka kwanza tuyajadili!!
 
Ukitaka kufanya jambo ufanikiwe tz uende opposite na watz, tatzo watz wengi ni bendera kufata upepo, wakiskia tikit wote watalima tikit, wakiskia embe wote embe, mie nimenusurika, nilitaka kulima tikitk ila nikavunga kidogo.
Sasa kama wamehamia kwenye vtunguu utasikia mwakani hapa vilioo, vitunguu vitakiwa bei rahisi mpaka ugali utaungiwa vitunguu
Kweli kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom