Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukitaka kufanya jambo ufanikiwe tz uende opposite na watz, tatzo watz wengi ni bendera kufata upepo, wakiskia tikit wote watalima tikit, wakiskia embe wote embe, mie nimenusurika, nilitaka kulima tikitk ila nikavunga kidogo.
Sasa kama wamehamia kwenye vtunguu utasikia mwakani hapa vilioo, vitunguu vitakiwa bei rahisi mpaka ugali utaungiwa vitunguu[emoji23] [emoji23]
[emoji2][emoji2]
 
Maskin wee.. Ila pambana mkuu si lazma mambo yafanane, muhusishe mungu unaweza okoka..

Yakigoma kutoka itabidi tukupoze kidogo halaf tufanye KF WATERMELON PARTY tuyale mpaka yaombe poo[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usijali man, ikitokea hivyo ntayagawa kwa makapuku tu mana hakuna namna tena hapo
 
Back
Top Bottom