Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,936
Safi sana, karibu dokitaHabari zenu bandugu?!

Safi sana, karibu dokitaHabari zenu bandugu?!

400,000 kwa hekaNipe bei za kianzio..
Jamaa yangu analia sana,anakuja mtu shambani anatoa pesa ambayo ni robo ya matumizi yako ya Kilimo, Ile kuvuna kuleta k,koo kilio kikawa kikubwa
Kwa sasa ukitaka kufanya business yoyote lazima ufanye utafiti wa kina
Najiskia kulia aiseeNaskia Tikiti imeliza watu sana miezi hii ya June na kuendelea
.. Mi tikiti langu ndo linatoa maua

Jenga kwenu goma kwanza...ndo ujemge na bongoNipe jina because sijaziwona

M ngapi imeteketea???Kuna jamaa alilima yameharibika hadi huruma na aliinvest milions of money

Jirani unafahamu maeneo hatari! uko vizuri...una utaalamu na mambo ya real estate nini?Kizimkazi Zanzibar nenda
Mkuu pole sana kwa msibaYalimalizika salama salmini. Ahsanteni sana kwa kunifariji.
Namuona sweetiepieangalia hii kama unafumba macho hivi,sema unaona nini cha tofauti
![]()

AmenNawasalimu wote katika jina la Bwana.![]()
![]()
![]()
![]()
Nilitaka kulima vitunguu kuanzia mwakani mwezi wa pili, bahati mbaya sasa hivi kila mtu anataka kulima vitunguu, sitaweza tenaKuna jamaa alilima yameharibika hadi huruma na aliinvest milions of money
Duuh mukongo mweeeeeZiko lodge gani/wapi?

Tulia wee lionel messi wa msitu wa kongo..kwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Si mnajua mitazamo tofauti nliliandika "viazi vilikuwa vingi" kiutani maana humu wote tunajuana utani wetu hata mimi mfano naambiwa bwege,mkata viuno n.k
Chukulieni kawaida
.................

Bepari uko nondo sana linapokuja swala la historiaUjerumani zilitengana mara tu baada ya kumalizika kwa vita kuu ya pili ya dunia hapo mwaka 1945.
Chanzo kikuu ni Ujamaa na Ubepari.
Ujerumani Mashariki wakafata mrengo wa Kijamaa.
Ujerumani Magharibi wakafata Ubepari.
Na ukumbuke Dunia ulikuwa inapitia kipindi kigumu baada ya kumalizika kwa vita kuu ya dunia, kwani kuliibuka pande kuu mbili zenye nguvu hali iliyopelekea kuibuka kwa vita baridi kati ya Urusi ( Wajamaa ) na Marekani ( Mabepari ).
Uhasama wa Ujerumani Magharibi dhidi ya Ujerumani Mashariki ukachagizwa zaidi na Ujenzi wa ukuta maarufu wa Berlin. Ukuta uliozitenganisha nchi hizo.
Ukuta ambao ulisabibisha maelfu ya watu kupoteza maisha au kubaki na ulemavu wa kudumu pale tu walipojaribu kuvuka kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine.
Hali hiyo ilienda mpaka mwaka 1990 pale ambapo Ujamaa ulipodondoka huko Urusi, na kusababisha Ujerumani Mashariki ikose misaada toka kwa Wajamaa hivyo wakaona ni bora waungane na kurudi kama zamani na kuwa Ujerumani moja.
Lakini katika utengano huo, Ujerumani Magharibi ndio iliyopiga hatua kimaendeleo zaidi wakati wa utengano wao kuliko Ujerumani Mashariki.
Pia katika kipindi hiko cha 1945 - 1990 kulizuka Vita maarufu ya Vietnam, Kati ya Vietnam ya Kusini iliyofadhiliwa na Wamarekani dhidi ya Vietnam ya kaskazini iliyokuwa inaungwa mkono na Warusi.
Pia katika kipindi hiko cha 1945-90 ndipo kulipoundwa umoja wa Nchi zisizofungamana na upande wowote ( NAM ) lengo ni kutojitenga na upande wowote.
Hivyo basi, Utengano wa Ujerumani ulisababishwa na hali ya kutoelewana kati ya Ujamaa na Ubepari.

Umelimia wapi, poleNajiskia kulia aisee.. Mi tikiti langu ndo linatoa maua
![]()
Ukuta ww Berlin sikuhizi hata selfie unapiga! akati enzi hizo ni kutunguliwa tu fasta.

Poa tu man!! Inakuwaje!?Habari zenu bandugu?!
Haaaahaaaa, hapana mimi ni mzuluraji tuJirani unafahamu maeneo hatari! uko vizuri...una utaalamu na mambo ya real estate nini?
Ameen, amiin, aminaNawasalimu wote katika jina la Bwana.![]()
![]()
![]()
![]()