Makapuku Forum

Lima matikiti ndugu

.......
 
Km vipi tumshauri ufugaji wa vyura

......
Mkulima wa ikwiriri analima matikitiki maji, biashara yake anaamua dalali wa k,koo

Ni wakati wa serikali kumlinda mkulima

Azam anazalisha juisi kwenye viwanda vyake, wamwambie tu anunue matunda kwa wakulima na sheria zimbane haswa, utaona jinsi watu watakavyolima, lakini kwa kupitia dalali hata mimi siwezi kulima
 
Naskia Tikiti imeliza watu sana miezi hii ya June na kuendelea
 
Ndo maana wakulima maskini hadi wanatia huruma...mi bora nilime mazao ya chakula tu
Wafanyabiashara/walanguzi/middlemen ndo wanafaidi jasho la mkulima
.........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…