Makapuku Forum

Nami nakupongeza, binafsi najivunia kf imeniunganisha na watu wazuri sana, sometimes tunataniana hapa watu wanafikiri waliopo humu ni vilerzer lkn humu watu ni vichwa na waonao mbali...hongera kwa kubuni uzi huu mimi umenifaa....wengine mahusiano yamezaa matunda chanya
bitoz
Pia tumfariji mwenzetu musso amekuw na mchango mkubwa sana hapa
 
Ndo ivo
Napendekeza anayejisikia kumpa mkono wa pole amtafute Mussolini PM (Hivyo hapa tusijadili sana)
Tumuache apumzike
................
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…