Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1981 - Zlatan Ibrahimovic.
Mshambuliaji wa zamani wa Ajax, Ac Milan, Inter Milan, Juventus, Barcelona, PSG na kwasasa Man Utd.
Ni mshambuliaji wa aina yake mwenye majivuno, sifa na ambaye mara nyingi hufunga magoli ya uwezo binafsi na ya kukumbukwa. Hujulikana kama Ibra Kadabra.
Alichemsha akiwa Barcelona, kutokana na kutoelewana na kocha.
Kwasasa amestaafu kuchezea timu ya taifa ya Sweden.
1981 - Zlatan Ibrahimovic anazaliwa.
Mshambuliaji wa zamani wa Ajax, Ac Milan, Inter Milan, Juventus, Barcelona, PSG na kwasasa Man Utd.
Ni mshambuliaji wa aina yake mwenye majivuno, sifa na ambaye mara nyingi hufunga magoli ya uwezo binafsi na ya kukumbukwa. Hujulikana kama Ibra Kadabra.
Alichemsha akiwa Barcelona, kutokana na kutoelewana na kocha.
Kwasasa amestaafu kuchezea timu ya taifa ya Sweden.