Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_2016-10-03-08-54-18.png
Screenshot_2016-10-03-08-53-39.png
Screenshot_2016-10-03-08-56-08.png
Screenshot_2016-10-03-08-55-16.png
Screenshot_2016-10-03-08-54-01.png
IMG_20161003_085626.jpeg
IMG_20161003_085642.jpeg
1981 - Zlatan Ibrahimovic.

Mshambuliaji wa zamani wa Ajax, Ac Milan, Inter Milan, Juventus, Barcelona, PSG na kwasasa Man Utd.

Ni mshambuliaji wa aina yake mwenye majivuno, sifa na ambaye mara nyingi hufunga magoli ya uwezo binafsi na ya kukumbukwa. Hujulikana kama Ibra Kadabra.

Alichemsha akiwa Barcelona, kutokana na kutoelewana na kocha.

Kwasasa amestaafu kuchezea timu ya taifa ya Sweden.

1981 - Zlatan Ibrahimovic anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa Ajax, Ac Milan, Inter Milan, Juventus, Barcelona, PSG na kwasasa Man Utd.

Ni mshambuliaji wa aina yake mwenye majivuno, sifa na ambaye mara nyingi hufunga magoli ya uwezo binafsi na ya kukumbukwa. Hujulikana kama Ibra Kadabra.

Alichemsha akiwa Barcelona, kutokana na kutoelewana na kocha.

Kwasasa amestaafu kuchezea timu ya taifa ya Sweden.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom