Game ya leo n kati ya derby hovyo sana kutokea kipindi cha kwanza Yanga kapiga mpira c utani ila cha pili katepeta simba wakaja juu!!! Kichuya mwenye namba yake anipe nimtumie mia3 kwa tigopesa;!! Yanga alipaswa amalize mchezo mapema pia mwamuzi mchezo umemzidi uzito kwa kiasi Fulan Mimi Yanga Damu ila Yanga waongeze kasi la sivyo huu ni mwaka wa SIMBA
Burudani hii kutoka kwa Mr. Phil Collins ililetwa kwenu kwa hisani babu kubwa ya Simba na Yanga sina jipya jingine mpaka hapo kesho tena ila tu tukutane Taifa, Mlikuwa nami Sweetiepie. Tchau Amigos