Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,232
- 68,262
IslamicLebanon hawana mlengo wa kidini?
Jina la Rais wao limenifanya nijiulize maswaliIslamic
...........
1945 - Ehud Olmert anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 12 wa Israel. Japo alitawala kwa muda mfupi wa miaka mitatu ila anachukuliwa kama mmoja wa Waziri Mkuu waliotawala kibabe dhidi ya maadui wa Israel.
Alijiuzulu kwa kashfa za Rushwa.
1962 - Frank Rijkaard anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Uholanzi aliyetamba akiwa na klabu ya Ac Milan na tinu ya taifa ya Uholanzi.
Baada ya kustaafu alikuja kuwa kocha wa Barcelona ambapo alitengeneza timu iliyokuja kutawala soka la Ulaya ikiwa ni pamoja na kushinda ubingwa wa ulaya mwaka 2006.
Jamaa alikuwa anajua mpira1962 - Frank Rijkaard anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Uholanzi aliyetamba akiwa na klabu ya Ac Milan na tinu ya taifa ya Uholanzi.
Baada ya kustaafu alikuja kuwa kocha wa Barcelona ambapo alitengeneza timu iliyokuja kutawala soka la Ulaya ikiwa ni pamoja na kushinda ubingwa wa ulaya mwaka 2006.
Kimeo1986 - Olivier Giroud anazaliwa.
Ni mchezaji wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa.
UpoLebanon hawana mlengo wa kidini?
1977 - Roy Carroll anazaliwa.
Ni kipa wa zamani wa Man Utd na timu ya taifa ya Ireland.
Anakumbukwa Man Utd alipookoa mpira uliovuka mstari kuingia golini, yeye aliurudisha mpira huo na refa hakuona akawanyima Spurs goli la ushindi na mechi ikaisha 1-1. Old Trafford katika ubora wake hapo.
Alikuwa ni kiungo mkabaji wa nguvuJamaa alikuwa anajua mpira
Hili tukio lilizua gumzo kubwa sana, refa akaendeleaza tabia za uoga pale OT