shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ankali briz mambo niajeeeHivi hilo jeshi halijaona wenye sura za kufanana na baba zao?? Ndo nini sasa kupeleka watoto wazuri namna hii huko... Aisee huu ni upotevu wa rasilimali![]()
![]()
Thijakuthoma men!
Haawafai hata kwa dawa wale![]()
Ndio umenithomaThijakuthoma men!
Hongera sana kwa kutupia 113k
Hii no hii
Hahahaha, Haya ni mawazo yako?Ulishawai kuwa nyumbani na wazazi mnacheki movie, alafu ghalfa inakuja sex scene..watu wanashikana shikana wanapigana mabusu nk...
Dingi anapagawa ili kuuwa noma anakuuliza Josee ushapiga pasi gari..??
Na wewe ulivyochanganyikiwa unamjibu umeme umekatika mzee..
Hapo ndo utajua nobody can stop Reggae![]()
Uchokonozi wa kiwango daraja la salendaHabari hii imfikie Magufuli
Wapo wachache, mf sacajoHao wazuri unakutana nao wapi? Hata hivyo ni ngumu kupata wazuri sana afu wacha mungu
Huu ni uchokonozi wa kiwango cha daraja la salendaHabari hii imfikie Magufuli