Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Sweetiepie sio tusiokuwa na undugu na ung'eng'e unatusaidiaje?
We mnywanywa sana...![]()
![]()
hakuna upambe nux hapaa

Hahaa... Tena ntambutua kisawa sawa.. Utafikiri ndio ananipa for the 1st time arif.. Ubutuaji wa kimataifa, ubutuaji wa mizinga sio kombolela..Dah kweli leo nyota yako inang'aa man, hii post ya 111111 niliivizia kimyakimya lakini wap... Leo kweli ni siku yako ya ubutuaji. Nakuombea tu ubutuaji mwema kwa shem wangu ukifika
![]()
Mie sio nisterooy wala chicharito..Fresh.....naona unavizia kinyamaa
Kwa historia ya kaka mkubwa mussolin + picha za bitoz zinafanana kwa mbali na lile movie, inawezekana hawajaekt tukio ila wameiba kaaidea.Niliichek ile muv yotee.......ila sina uhakika kama ina uhusianoo
Bitoz anacho cha did you know hebu wasiliana nae. Vinaweza kuwa na swaga tofauti kama mimi na Cobblepots tunafanya muziki ila yeye kaja na top kali za Kapuku.Jaman kuanzia kesho nitakuwa nakuja na kipindi changu cha je wajua???
Bitoz mkomba mboga huyoo![]()
nani huyo anaeleta uchozi humuu.....nitapiga mimi
Wakati wewe una ulevi wako mwingine...![]()
Tena vere vere adiktediWakati wewe una ulevi wako mwingine...![]()
Saana.. Ila kwa utamu wake huwa nauona kama mfupi vileKumbe wimbo ni mrefu eeh?
Haya... Thibitisha
Amin inshaallah malkia wanguPole dear na ufike salama inshallah
Kwani kufananisha dhambi!!Naona unafananisha maze runner na hiyo habari
Naujua babaa![]()
![]()
![]()
Nashkuru mama watoto unaujua..

Sanaaa...Tena vere vere adiktedi
Naona niliona malyengeNimecheka mpenzi sijalia![]()
Mpe msaada wa chibuku, still gongo inamuumiza.Me labda nimpe ushauri awe anakunywa gongo....,,na sio komoni