Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo natangaza ni Siku ya mapumziko
HARUHUSIWI MTU KUCHAT

Tuonane kesho kwenye mgahawa wa Afande Sajo atatuandalia pilau la nyama ya kenge na kachumbari ya mapapai

Mroho Makaveli usisahau kubeba ndizi na parachichi mfukoni

Jimena uje na kimini chako uchwara

Dikteta hatutaki stori za historia msosini

Briz hatutaki mambo ya kuimbishaimbisha

Shululu usije na Lulu atabebwa na wakware

Kwigli utaongoza sala ya chakula

Bitterpie usije kishoboshobo tutakupa vyombo uodhe

Licongo ukija na pamba za kuazima huli

Mkwepakodi jukumu lako kununua vinywaji....hatutumii gongo na viroba sisi utakunywa mwenyewe

Kikofia piga puli tu ...huna ubavu wa kuimbisha



..................
umenidharirisha......omba msamaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom