Usije ukakimbia tu kesho hapa..
Maana ukishinda ndo unakuja huku unajifanya mchambuzi.
Yani kesho baada ya hiyo mechi kumalizika kama sitakuona hapa nitakuja kujutafuta mpaka kule kwenye ile thread yenu
Nimejisikia kuibadili coz ilitimiza mwaka nzima now nakuja kivingine
Tatizo la ile avatar ni ile kata k na mnenguo watu wanapata cha kuongea kwa hapa KF haikuwa na tatizo coz tunataniana tatizo kwenye thread zingine
...............