Makapuku Forum

Usikute walipanga kisud, ili shoga nae aonekane wa maana katika jamii..
 
1978 - Harry Kewell anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Leeds United na Liverpool na timu ya taifa ya Australia.

Mmoja kati ya mawinga bora wa kushoto aliyekuwa na uwezo mkubwa sana, alishinda Ubingwa wa Ulaya akiwa na Liverpool mwaka 2005.
Nilikuwa nampenda sana huyu mtuu.. Hapa yeye huku luis garcia.. Gerrard, alonso aahh.. Liver nyie mlifia wapi!!?

Ila luis garcia kwangu ndio alikuwa kipenz zaid
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…