Makapuku Forum


Watoa povu wa Jf nilishawazoea kitambo sana hivyo hawawezi kunisumbua.....nilitoa tu mfano

Mimi tayari najua changamoto zote JF na udhaifu wa baadhi ya majukwaa hivyo nikiamua kuanzisha mada naweza lakini sijajisikia tu kufanya hivyo ndio maana tangu KF ianze nimetoa thread 2 tu (sijaishiwa vya kuandika bali nimeamua tu)
............
 

Attachments

  • IMG_20160713_220343.jpeg
    7.6 KB · Views: 22

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…