Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Swali nililojiuliza upinzani haukuwa na mgombea wao wa uraisi mpaka wamachukue kutoka chama tawala awe mgombea tena walituaminisha kuwa Ni fisadi na ushahidi wanaoNilichobariki mimi ni ccm kubomoka, cikutamani isalie kwenye ramani ya siasa, kwani mateso yote ya nchi hii ni wao ni pamoja na Lowasa.
Nilichokiunga mkono ni kuja kuongeza nguvu upinzani
Japo baadae niliona upinzani naoulikosea kwani huyu mtu wanamfahamu sana madudu yake mbali na richmond ambapo alikuwa victim tu, lkn background yake sio njema
Ilikuwa heri nusu shari kuliko shari kamili ambalo ni ccm.
Hapakuwa na namna kwn nisinge vote ccm.
Nadhani nimekujibu
1945 - John McAfee anazaliwa.
Ni mtaalam wa Program za Computer kutoka nchini Marekani.
Ndio mwanzilishi wa McAfee
Tatizo kubwa tulilonaro kama nchi hatuna dira, kila kiongozi anakuja na mambo yake na hayana faida kwa nchiWapinzani lazima tuendelee kukosoa na hii ndio kazi yetu.
Lakini tuwe wakweli kwa haya;
1. Nchi ilisha nuka rushwa
2. Watu walifikia kiwango cha miungu
3. Dharau na jeuri ya pesa ilizidi
4. Rushwa ilikithiri
KWA SASA
1. Watu wamenyooka
2. Hofu imetawala kwa wafanyakazi wa umma
3. Angalau wanajituma
ATHARI YAKE
1. wateule wengi wanafanya kz kwa kurupuka
2. Wengi wanaonewa kwani haufanyiki utafiti kabla ya hatua
3. Mkuu amewapa wateule wake jeuri kwn hawana semina elekezi
Naye hakemei uonevu huo
4. Mengi yanafanyika kwa matamko bila kufuata sheria
Dira sahihi ikiwepo tutafika tuendako
Swala la mgombea mmoja lilikuwa jambo gum sana kwani slaa na lipumba kila mtu alitaka awe mgombea, shida kubwa ni ubinafsi unawamalizaSwali nililojiuliza upinzani haukuwa na mgombea wao wa uraisi mpaka wamachukue kutoka chama tawala awe mgombea tena walituaminisha kuwa Ni fisadi na ushahidi wanao
Mfumo waliouweka mpaka wanajeshi kuwa makada wa CCM huo ndio unatutafunaShida rafu za ccm
1949 - Peter Shilton anazaliwa.
Ni golikipa wa zamani wa Uingereza ambaye anashikilia rekodi ya Mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi katika timu ya taifa ya England ambapo amecheza Mechi 125.
Hilo ndio tatizo kubwa sana. Mfano Edo akirudi alipotoka itakuaje?Swala la mgombea mmoja lilikuwa jambo gum sana kwani slaa na lipumba kila mtu alitaka awe mgombea, shida kubwa ni ubinafsi unawamaliza
Hii ni story ndefu sana, Sema ni ngumu kuiweka humu, lakini upinzani walikosea sana na Kuna watu ndio waliwaingiza mjini nao wakajaaSwali nililojiuliza upinzani haukuwa na mgombea wao wa uraisi mpaka wamachukue kutoka chama tawala awe mgombea tena walituaminisha kuwa Ni fisadi na ushahidi wanao
Hatari kubwaMfumo waliouweka mpaka wanajeshi kuwa makada wa CCM huo ndio unatutafuna
To be honest hawezi tena kuwa mgombea 2020.Hilo ndio tatizo kubwa sana. Mfano Edo akirudi alipotoka itakuaje?
Upinzani wa kibongo una shida kidogoHii ni story ndefu sana, Sema ni ngumu kuiweka humu, lakini upinzani walikosea sana na Kuna watu ndio waliwaingiza mjini nao wakajaa
Upinzani wa kibongo una shida kidogoHii ni story ndefu sana, Sema ni ngumu kuiweka humu, lakini upinzani walikosea sana na Kuna watu ndio waliwaingiza mjini nao wakajaa
Sasa simu haina space na nadelete lkn wapi..natoa application lkn wapiPole mkuu, japo wewe ni fundi ktk hilo