Makapuku Forum

Ndo hivo kuna watu ni MUCH KNOW
Halafu vichwani weupe

........
 
Mi kule intelligence napapenda sana yani hata nisipochangia ila ni lazima nisome thread za kule tena sana
Mi azunguka majukwaa nengi kimyakimya najifunza vitu vingi ....km kitu kinanigusa nacomment km sijui nakaa kimya
Siwezi anzisha thread ya vitu nisivyovimudu au ilimradi tu nijulikane
................
 
*Jana baada ya kukosa usingizi nikakumbuka maneno ya wahenga alalae usimuamshe ukimuamsha utalala wewe, nikaenda zangu kwenye kambi ya jeshi nikakuta wanajeshi wawili wamelala nikawamwagia maji ,,sasa ivi niko zangu muhimbili nimelala sina tatizo na mtu...*
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…