Makapuku Forum

Na kweli unawakubali hao...yaani kila weekend ulikuwa unazipiga home nakumbuka
Nafurah kila nikikumbuka ulivyokuwa huzipendi, ila baada ya kukupa lyrics ukaanza kumuelewa tupac n bob marley..

Hasa keap ya head up, me n my girlfriend na do for love.. Ukija geto lazima uziweke enzi za kubambiana kwa kuiba iba..

Letterto my unborn child, uliipenda saana hii nyimbo enzi ujauzito wako wa kwanza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…