Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
1939 - Guntis Ulmanis anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa 5 wa Latvia.
I miss you more my broda..We miss you too
We njokopae ni nn mbayaaTutolee uchuro hapa
Kitambo sana Canavaro1973 - Fabio Cannavaro anazaliwa.
Ni beki wa zamani wa Ibter Milan, Real Madrid na Juventus.
Alishinda ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 2006 akiwa kama nahodha wa kikosi cha Italy.
Anachukuliwa kama mmoja wa mabeki mahiri wa kati ambao walikuwa ni wafupi katika historia ya soka.
Pia ni beki pekee ambaye mwaka 2006 alishinda Tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia.
Manzi wa jonax
Eeh hao ni Waluhya sasa aiih.. Unapatia manzi amenyoooka hana hata Budaa na hukula hyo Sembe hata kilo 3 na bado hujihisi wao ni Binadamu wa kawaida..
Eeeh hii miujiza hawa Manzi hufanya Jesus mwenyew could be Surprised
Iringa moja... Cobblepots yupo sana tu siku hizi ni dj wetu hapa huwa anatupa burudani yenye akili sana
1940 - Oscar Arias anazaliwa.
Rais wa Costa rica namshindi wa tuzo ya Nobel.
Kaichukua Bitoz hiyo wangu, mambo ni gani lakin bibie?Kivipi?
Hata mimi id yangu ni ya ukweli.......tafuta point nyingineSifa yangu id yangu ni ya ukweli.
Ni poa sana dadake, hivi ulishajifungua?? Mana mara ya mwisho hapa nliskia Quigley ameweka ki-zygote hapoMambo kakaake?
1973 - Fabio Cannavaro anazaliwa.
Ni beki wa zamani wa Ibter Milan, Real Madrid na Juventus.
Alishinda ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 2006 akiwa kama nahodha wa kikosi cha Italy.
Anachukuliwa kama mmoja wa mabeki mahiri wa kati ambao walikuwa ni wafupi katika historia ya soka.
Pia ni beki pekee ambaye mwaka 2006 alishinda Tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia.
Sometimes mambo yanatinga kidizaini lakini kila kitu kinaenda wanguHabari ya kazi my dear
Kilugha hikohapaChengaTuu
▶Ni vyema mkuu .. Natamani siku moja nihudhurie shoo yake hata moja ...Iringa moja... Cobblepots yupo sana tu siku hizi ni dj wetu hapa huwa anatupa burudani yenye akili sana
Kwangu sept 13 ni bahatiHongera kwa 105k, wamchangani walikuwa wanaivizia
Muongo wewe, mbona hukunitafuta?Nipo mdogo mdogo.. Tulikumiss wewe kwa kitambo kirefu, welcome back..