sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Naona unawachana tuuKile kingongo kimekomaa hata ukitukane kina rudi tena labda kina shida ya Likes
Kimeacha ukumbi wao kule
.........
Naona unawachana tuuKile kingongo kimekomaa hata ukitukane kina rudi tena labda kina shida ya Likes
Kimeacha ukumbi wao kule
.........
Kwa hisiaVile ulivyoelewa
![]()
![]()
![]()
.......
Uadui wetu unaisha tukiwa kwenye thread zingine
Hahahah, ili upate maBK....we noma una tageti kali zaidi ya ronadoTatizo sitaki kuukosa upadre kisa hayo mambo
TupotezeeNaona unawachana tuu
Niliwahi kumwambiaga lakini sijui anasahau
Si unajua anapenda kuquote kila post pindi akiingia
.......
...duh, nimecha sanaZingine ni adhabu sio sheria![]()
![]()
.....kawaida mkuu......ila sheria ndio zinatakiwa kufuatwa
Hahahah, ili upate maBK....we noma una tageti kali zaidi ya ronado
Mkuu uko vizuri.......Ila me sipo huko utakuwa unanionea bure tuuKwani hujawahi kutana na nyodo zao.......hapa ni kijiwe chetu keshawahi kuja FaizerFix na Ngedere wote tuliwatoa nduki na hawakurudiDah, walikukose nini kamanda?
Labda kwasababu hapa kuna ulaji,Uadui wetu unaisha tukiwa kwenye thread zingine
Lakini hapa ni kijiwe chetu
Vingongo tupa kule VF
![]()
![]()
![]()
...........
Daaah.......naona mkuu wewe usingeweza kusomea kabisaZingine ni adhabu sio sheria
Ila nakushauri ukaze ili uende utafaidi na sadaka![]()
![]()
Mkuu uko vizuri.......Ila me sipo huko utakuwa unanionea bure tuu
Ndo sababu tena kanakuja kwa kuviziaLabda kwasababu hapa kuna ulaji,
Kwani hujawahi kutana na nyodo zao.......hapa ni kijiwe chetu keshawahi kuja FaizerFix na Ngedere wote tuliwatoa nduki na hawakurudi
Lakini Niko kingongo tushakitimua zaidi ya mara 5 k anajifanya kauzu
........
, labda anasahauNaanzaje, huko wanaenda ambao hawana moyoDaaah.......naona mkuu wewe usingeweza kusomea kabisa
Ila nakushauri ukaze ili uende utafaidi na sadaka
sawa mkuu....ila na wewe unakaribishwaHamna likes ni km pesa kwake![]()
![]()
![]()
![]()
, labda anasahau
Mbona me nina moyo mkuu.....ila ishu ni kujicontrol na kujua nini kilicho kupelekaNaanzaje, huko wanaenda ambao hawana moyo