Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Hivi ushindi wa city unakuhusuje kwa mfano??Chezea city wew
Adui yako muombee njaaHivi ushindi wa city unakuhusuje kwa mfano??
Maana nijuavyo mimi wala haina undugu na asen8
Mbona sijaiona hiyo mbeleko??? Tulieni dawa iwaingieCity wanabebwa sana

Hamna loloteMbona sijaiona hiyo mbeleko??? Tulieni dawa iwaingie![]()
WakumbusheKumbuka pale ni old Trafford

Hapa nilikuelewa vizuri, japo statistics za half time hukuwekaTumezidiwa lakini kipindi cha pili mambo ya naweza kubadilika
City wanateleza aisee km kambale
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Weeeh tulia dokita afanye yakeHivi ushindi wa city unakuhusuje kwa mfano??
Maana nijuavyo mimi wala haina undugu na asen8

Weeeh shusha nguo uchomwe sindanoHamna lolote

Mpaka Rio imemuumiza sana hii gameYanga itafanya yake, na Madrid vile vile
Tnmefungwa kihalali ile ni ligi cha msingi tujipange upyaBitoz wewe ulitakiwa ukae ulaya na si Africa,sababu wewe ni mkweli