Makapuku Forum

Makapuku Forum

Enzi ya doso! Sikuwahi kuona utamu wake nikaacha!!
Mi nilikaa hostel A level na masela anavuta bangi alijaribu kunivitisha lakini hakuwahi kufa nikiwa...vipisi vyake nilikuwa navifagia tu
Alikuwa anasahau maandazi gheto week nzima hadi yanaharibika ndo namshtua...alikuwa anasahau begi tukiwa kwa Mama Nrilie na nilikuwa nauchuna hadi tufike gheto kumkomesha tu
Chezea bangi
1473362216079.jpg


...............
 
Mi nilikaa hostel A level na masela anavuta bangi alijaribu kunivitisha lakini hakuwahi kufa nikiwa...vipisi vyake nilikuwa navifagia tu
Alikuwa anasahau maandazi gheto week nzima hadi yanaharibika ndo namshtua...alikuwa anasahau begi tukiwa kwa Mama Nrilie na nilikuwa nauchuna hadi tufike gheto kumkomesha tu
Chezea bangiView attachment 396534

...............
Bangi noma..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom