Mkuu ustaarabu ni kitu muhimu
Mfano mtu umeingia umekuta post 200 zinazokuhusu
Je utareply zote?
Mstaarabu ataquote 5 tu
Hapa ni sehemu ya kujanja tuwe wajanja
Jisikie poa lakini.
Huu uzi unasomwa na watu wengi
.............................
Nimeelewa somo..... Siunajua malimbukeni wa JF tuna matatizo!! Ila nimejirekebisha sitarudia tena..... Na nitakuwa MUSTAARABU mpaka ukamilifu wa dahari ya KF.
Nimeelewa somo..... Siunajua malimbukeni wa JF tuna matatizo!! Ila nimejirekebisha sitarudia tena..... Na nitakuwa MUSTAARABU mpaka ukamilifu wa dahari ya KF.
Mkuu ustaarabu ni kitu muhimu
Mfano mtu umeingia umekuta post 200 zinazokuhusu
Je utareply zote?
Mstaarabu ataquote 5 tu
Hapa ni sehemu ya kujanja tuwe wajanja
Jisikie poa lakini.
Huu uzi unasomwa na watu wengi
.............................