Poa poa mkuu brizKwema kaka
Inaonekana ni zoteKwani we baby ni hizi![]()
ama hizi
??
![]()
Jirani umehamia hukuHapana, labda uniandalie PILAU NA KUKU, ndio napenda
Da pole sana, lakini ulipanda Mdogo Mdogoniliwahi kukuta nimeachwa kwa posts 3900+, we acha tu ilikua ni kama niko majaribuni
Mkuu ndo jinsia pendwa zilivyo, lazima waringishiane kidogoMaringisho..
Hapo bibi nimekupa kiss la shavu matangazo yameshaanza..
Je kiss la kwenye naniliu.. Si kampen nchi nzima mamii...
Anatafuta hatricNakuona bibie katika ubora wako![]()
![]()
![]()
SanaImemuuma sana..
Kwa mbinde sanaDa pole sana, lakini ulipanda Mdogo Mdogo
Hata mlima wa jana baada ya 100k ulikuwa kibokoKwa mbinde sana
niliwahi kukuta nimeachwa kwa posts 3900+, we acha tu ilikua ni kama niko majaribuni
nisome post zote naenda kujibia paper!!!....Maringisho haya, si ya nchi hii..Mkuu ndo jinsia pendwa zilivyo, lazima waringishiane kidogo
Mimi nimo muda tu sasa, ulikuwa unataka kuni.......?!Jirani umehamia huku
Anaweza, acha masihara kabsa na jonax kikofia, lile likofia sio la bure..
mnazungumzia nini?