Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Ngoja nifanye mchakato bhaana huku hakufai kabisaHamia town
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
Ngoja nifanye mchakato bhaana huku hakufai kabisaHamia town
Au LibyaHamia town
Jamani naenda kuoga mnaonaje kama mkinisubiri kidogo ama niende kuoga na simu? Mana sio kwa hii spidi ya shululu leo![]()

Haya Sema nayeMbona mm nko poa tu.
Tuondoke maana naona unamuangalia yule mdada hatari sijui mnafahamiana...Siji tena nimekula hotelin
Cc JonaxUnanitambishia mipesa na mali zako....mi sitaki hivyo. Nataka furaha, amani na upendo.
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
Ndo nami naona ajabuvyako ule na nani afu vyangu ndo tule wote... Hell No!!
Haya bhanaaaaUnanitambishia mipesa na mali zako....mi sitaki hivyo. Nataka furaha, amani na upendo.
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
Coz i love you

Kwei eee

Cc sijalibiwiKomredi nimekuja kuchukua 100k yangu.
Bitoz andaa wino wa kuniandika pale kwenye ubao wetu.
Ahsanteni wamchangani kwa kunifikishia 100k karibu.
Kama nilivyoahidi sitawaangusha!
Naona kamshindwa sweetiepie anakuja hukuAcha tu apige jaramba, uwanja ataendelea kuuona kwa macho
Zile ulibahatisha tu..Zile tobo nilizokupiga ulikuwa Somalia?