briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Acha kututisha banaKomredi nimekuja kuchukua 100k yangu.
Bitoz andaa wino wa kuniandika pale kwenye ubao wetu.
Ahsanteni wamchangani kwa kunifikishia 100k karibu.
Kama nilivyoahidi sitawaangusha!


Acha kututisha banaKomredi nimekuja kuchukua 100k yangu.
Bitoz andaa wino wa kuniandika pale kwenye ubao wetu.
Ahsanteni wamchangani kwa kunifikishia 100k karibu.
Kama nilivyoahidi sitawaangusha!


My jirani....
Embu tutolee uchawi wako hapaAHere I am!!
Homa ya JijiOnaana sasa Mussolin5 limeshakuja...
Hivi ni nani aliuemuita hapaaaa?
Au shida yenu ni kunikosesha ubingwa?
Kuna uchwara hajui mchezo kavamia tuOnaana sasa Mussolin5 limeshakuja...
Hivi ni nani aliuemuita hapaaaa?
Au shida yenu ni kunikosesha ubingwa?
Cc JonaxHere I am!!
Umefurahi e?Mwambie
PointHahahaha ni kwenda nayo bafuni tu huku JJ anakusaidia kuendeleza mashambulizi...hamna namna
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
AàahCc sweetiepie
Nko maji kinoma...Haya tuisubiri
Huwezi ipata kamwe
Mi silali hadi nimuandike mtu atakayetupia
.........
HakunaTatizo nini
Weka pichaAcha kututisha bana![]()
Haitaki kuwekaWeka picha ya mdada hapa
Pressure inapandaAcha kututisha bana![]()
Embu tutolee uchawi wako hapaAView attachment 395114
Huyu ndio sweetiepie
Abiria chunga mzigo wako