Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Sema unamkazia sana pacha wanguTuko bichi.. Tunapiga stori, tunachezea mchanga kidogo..
Kurudiana sahau cwt p..
Sema unamkazia sana pacha wanguTuko bichi.. Tunapiga stori, tunachezea mchanga kidogo..
Kurudiana sahau cwt p..
Fikiria kuhusu hilo.. Fursa hiyo mkuuSijawah kuwaza mkuu..
We can make huge money aisee sometimes ndoto njema zinakujaga ukubwani tu, usijar let's give it a try my....my best friend
...ntakusupport kwa kila hali.


Namastey!!Shuk'riya...
![]()
![]()
![]()
Ni kweli anakuja juunaona anakuja juu sana lakin hatuwezi kumpuuza
Poa mpenzi, karibu mi ndo naenda lunch sijui nimechelewaMambo?

Ha ha ha atakuja kuvizia, na sasa upinzani utaongezeka maradufu maana Bitoz na Shululu wameongezeka kwenye mchakatoAmeadimika kidogo leo lakin utauona tu uwepo wake si unajua hatuko mbali sana na 100k
Lunch hii mbona imechelewa hivyo?Poa mpenzi, karibu mi ndo naenda lunch sijui nimechelewa![]()
Aap kaise hain?![]()
![]()
Namaste
Nilikua bize kipenz afu lunch yenyewe naitafutia mbaliLunch hii mbona imechelewa hivyo?
Mi nataka juice tu sasaNilikua bize kipenz afu lunch yenyewe naitafutia mbali
TitcheAap kaise hain?
Mi nimeandaa mkakati maalumHa ha ha atakuja kuvizia, na sasa upinzani utaongezeka maradufu maana Bitoz na Shululu wameongezeka kwenye mchakato

kazi kwenu..Watu walionizunguka waling'amua kitambo vipaj vyangu.. Ila ndio hvyo tena iman yangu nikaisweka kwenye elimu, nikaamua nipige kitabu ndio mfumo wa kitz.. Vipaj vingine niliweza kuvigundua mwenyewe mpaka leo vipo, jinsi ya kupigia kazi ndio tabu..Mshkaji ana bonge la kipaji sijui ka mwenyewe analijua hilo
Mi kazi nnayo maana sitakuwa na laptop ntatumia simu tu ila ntaipataMi nimeandaa mkakati maalumkazi kwenu..
Hamna Shemeji we hujui tu, simkazii kwa ubaya, nalinda moyo yangu na jeraha la sasa, nikifanya mchezo sintabaki na kovu zaid ya kukuza donda ndugu..Sema unamkazia sana pacha wangu
, ngumu kuitikia lakin ndio ukweli wenyewe huu, sina jinsi.. But trust me ntampenda maisha yangu yote..Sawa mkuu...Fikiria kuhusu hilo.. Fursa hiyo mkuu