Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mshkaji ana bonge la kipaji sijui ka mwenyewe analijua hilo
Watu walionizunguka waling'amua kitambo vipaj vyangu.. Ila ndio hvyo tena iman yangu nikaisweka kwenye elimu, nikaamua nipige kitabu ndio mfumo wa kitz.. Vipaj vingine niliweza kuvigundua mwenyewe mpaka leo vipo, jinsi ya kupigia kazi ndio tabu..
 
Sema unamkazia sana pacha wangu
Hamna Shemeji we hujui tu, simkazii kwa ubaya, nalinda moyo yangu na jeraha la sasa, nikifanya mchezo sintabaki na kovu zaid ya kukuza donda ndugu..

Kumpenda nampenda kweli, lakin hadeserve kuitwa mpenz wangu, si kila unaempenda anafaa kuitwa mpenz.. , ngumu kuitikia lakin ndio ukweli wenyewe huu, sina jinsi.. But trust me ntampenda maisha yangu yote..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom