lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
AsanteKaribu castle lite
AsanteKaribu castle lite
Umepania kumuiba wifi yanguKaribu castle lite
Mpenzi nataka nikuchum hadharani na watu wajue nakupenda.hunizid mimi baby
Hana hasira hataki kujionyesha tuWifi punguza hasira![]()
![]()
Wee..... Ataanzia wapi?kwa sababu hakupendi![]()
![]()
Na hata mimi nakuamini akija tena mfariji kwa mstari huu unaosema...Msihangaike juu ya kitu chochote, bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu; na amani ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu Wafilipi 4:6-7Anazuga tu, kanifuata pm ananishukuru kwa maombi niliomfanyia apate mume
Kaka umechanganya mafileMbona unanitangazia sifa mbaya kwa majirani!.
Kweli mimi sijiamini??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Acha uchawi wewe huyu mtoto ananipenda!!.kwa sababu hakupendi![]()
![]()
Usijali sweety, tusiwape faida wanaochukia kuona tunapendanaNisamehe wangu sirudii tena.
Ahhh taratibuuunipo kwa pembeni hapa
Hapa ndio nazidi kukupenda mume mwemaNa hata mimi nakuamini akija tena mfariji kwa mstari huu unaosema...Msihangaike juu ya kitu chochote, bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu; na amani ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu Wafilipi 4:6-7

Sawa shemNashukuru sana shemeji tupo pamoja..
Haina shida ntaongezea na Efeso 3:20 atukuzwe yeye atendayo mambo ya ajabu kuzidi yale tuyaombayo au tuyawazayo kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetuNa hata mimi nakuamini akija tena mfariji kwa mstari huu unaosema...Msihangaike juu ya kitu chochote, bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu; na amani ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu Wafilipi 4:6-7
Hahahahahah pole sana ndugu yangu naona bado unapapasa macho kwa kila anaekupita shauri yako..Tatizo hutaki kuuliza mbinu mpya za kuvuta vitu vikali chap chap...Utazeeka ukisindikiza kwa macho tu..Hasira hupendezi na sura yako Mungu aliyokufinyanga akiwa ana furaha.
Usipoipata hiyo post, utapalilia mipapai mwenyewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Replies
Loading
........

Mie tena..Nchum tuMpenzi nataka nikuchum hadharani na watu wajue nakupenda.
Sawa mpenzi.Sio wewe mpenzi wangu. Siwezi kukutangazia hayo mbele za watu. Na kwanini nifanye hivyo eeh?