Makapuku Forum

Makapuku Forum

KAPUKU'S TOP VIBES: RHYTHM AT THE EDGE OF THE SABBATH

1. Be without- Marry J Blige


2. Another Day in paradise- Brandy ft Rayjay

3. How you gonna Act like that- Tyrese Gibson

4. When i see you- Fantasia

5. I'm your angel- Celine Dion ft R.kelly



6. Spotlight- Jennifer Hudson


7. No diggity- Blackstreet.

8. Kiss from a rose- Seal

9. Tell me- Bobby Valentino ft Lil Wayne


10. Let me love you- Mario

11. Heaven Sent- Keyshia Cole

12. Karma- Lloyd Banks ft Avant

13. Break Away- Kelly Clarkson


CC: briz , Sweetiepie , Jimena , werrason , Bitoz , shululu

Kaka nimekusoma sana... Inabidi hiki ki-segment kiwepo kila siku sasa ikibidi mana sio kwa utamu huu
 
Ukitoa shilingi 10,000 bar unaonekana kibopa lakini ukitoa hiyo noti kwenye daladala unaonekana msumbufu.. Hii inaitwa muktadha... Ukivaa gauni refu la kitenge kanisani unaonekana una maadili ila ukivaa gauni kama hilo club unaonekana mshamba... Hii inaitwa utambuzi... Ukinyoa para kama una hela unaonekana smart ila kama ni masikini unaonekana chokoraa.. Hii inaitwa nguvu ya pesa.


MUWE NA WEEKEND NJEMA WAUNGWANA......
 
Ukitoa shilingi 10,000 bar unaonekana kibopa lakini ukitoa hiyo noti kwenye daladala unaonekana msumbufu.. Hii inaitwa muktadha... Ukivaa gauni refu la kitenge kanisani unaonekana una maadili ila ukivaa gauni kama hilo club unaonekana mshamba... Hii inaitwa utambuzi... Ukinyoa para kama una hela unaonekana smart ila kama ni masikini unaonekana chokoraa.. Hii inaitwa nguvu ya pesa.


MUWE NA WEEKEND NJEMA WAUNGWANA......
 
1970 - Salvador Allende anachaguliwa kuwa Rais wa Chile.

Miaka mitatu baadae anapinduliwa katika kile kilichoitwa mapinduzi ya Kijeshi yaliyoungwa mkono na CIA na kumiweka madarakani kibaraka, General Agusto Pinochet.

Baada ya kupinduliwa Rais Allende alijiua kwa kujipiga risasi.
Huyu hakuwa mbishi asee, unaanzaje kujiuwa wakati ulikua unamiliki jeshi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom