makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,595
Makop.. Kopa hayoEwaaa sogea karibu sasa ulaze kichwa chako kwa kifua changu.
![]()
Makop.. Kopa hayoEwaaa sogea karibu sasa ulaze kichwa chako kwa kifua changu.
![]()
Cc bitozHadi huruma jamani........ Sasa huo ushindi mpeni Wenger aongeze kule kwenye timu kubwa
Kwakweli leo nawaletea huyu mkongwe wa Muziki huyu mtu bhaana ana history ndefu sana ya muziki nadhani anatisha aisee...historia yake imenichosha kuitafsiri nitaileta kama ilivyo najua humu wote vichwa kasoro Bitoz tu yeye ni mguu...!!

Beljiam...Brussels
Where have you been darling? i waited and waited and waited...dinner haina mvuto tena sasa.
Katika hiyo List niliyoweka wimbo wa Love will conquer all unatuhusu bae.Beljiam...

Naona leo umeplay part zote.. Mpaka kwa bitoz mapicha, we mwanamke umeshindikana.View attachment 392970View attachment 392971View attachment 392972View attachment 392973 Huyu baba huyu hazeeki jamani...duuuh
Romantic....Napenda nikijilaza kifuani vile unavyochezea chezea my long hair
Aione pacha hii
Thnx, tunashukuru.Mlikuwa nami Sweetie pie a.k.a Bitterpie in Bitoz's voicea.k.a Jimena's Twin kwa udhamini mkubwa wa Quigley tukutane tena kesho nyakati kama hizi...burudika
. Adios Amigos
Nigeria:
Staz
Dk 75
........
Siku hazifananiKumbe nao nigeria wabovu nlijua tunachezea nyingi leo
Dah!! Sijaicheki hii game, ungenishtua mkuu.. Niangalie watu walionizoesha raha, nipoze machungu kwa kweli...Nimeangalia waveterani wa arsenal na Ac Milan, Kanu na Pires wamenikumbusha mbali sana, arsenal wameshinda 4_2