Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Hongera sana Ankali kwa 96kAnataka kuvuruga huyo
Kama Zlatan vile
Hongera sana Ankali kwa 96kAnataka kuvuruga huyo
Na si rahisi kufikia huko..Mbeya city hii bado haijaifikia Mbeya City ile ya akina David Burhan, Hassan Mwasapili, Kaseke Deus, Steven Mazanda, Mwigane Yeya, Nonga Paul, Saad Kipanga na wengineooo
Asante, ni kama OziliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiHongera sana Ankali kwa 96k
Kama Zlatan vile
Sawa babyAngalia usivunje mguu hny.. Vyote vyako hvyo mpenz
Ndio mwenyewe super mario...
Yap.. Bayern ni timu kubwa na ya kipekee ujerumani..Bayern huwa anazionea sana timu ndogo,
Pia na wachezaji wengi wa kijerumani ndoto yao huwa ni kucheza Bayern Munich
Kwahyo upo parii sasaNo Papaa, nshasepa
We sasa una utani na mwenyekitiKuna watu wanaifanyia mazoezi kabisa
Weka pichaWe sasa una utani na mwenyekiti
Coin zimeniishia labda notiTuanze na hapo.. Rusha rusha...

Hiyo itakuwa yako au yangu.Sure... Hata hivyo tageti yangu ni 100k
Jamaa anajua sana kula maisha asee
Hapa kwetu Kimba na YeboyeboBayern huwa anazionea sana timu ndogo,
Pia na wachezaji wengi wa kijerumani ndoto yao huwa ni kucheza Bayern Munich
Ukweli Jamaa anajua kutumia muda wake akiwa hapa dunianiJamaa anajua sana kula maisha asee
Ni kupotezea tuNimegundua kitu ukiwa HATER/Snich kazi ipo hasa pale unapo"hate" na kutegemea hicho kitu kitakwama bila uwepo wako
.....inapotokea kikazidi kushine unaishia kutumia nguvu nyingi ukiwa pembeni kujishaua/kujionesha kwamba bado upo juu
Wenye akili wamenielewa mfno upo kwa Makapuku uchwara now wanatangatanga na kujipendekeza kwa vikongwe lakini wanaishia kupotezewa tu
Think twice before being a Snitcher/hater
![]()
![]()
![]()
...................................
That's ma shemCoin zimeniishia labda noti![]()

Usichukulie poa itakua ni battle hasa kila mtu yumo na amepaniaHiyo itakuwa yako au yangu.
Hawa wengine watasubiri sanaa