Makapuku Forum

Makapuku Forum

1472916347115.jpg
 
Nimegundua kitu ukiwa HATER/Snich kazi ipo hasa pale unapo"hate" na kutegemea hicho kitu kitakwama bila uwepo wako

.....inapotokea kikazidi kushine unaishia kutumia nguvu nyingi ukiwa pembeni kujishaua/kujionesha kwamba bado upo juu
Wenye akili wamenielewa mfno upo kwa Makapuku uchwara now wanatangatanga na kujipendekeza kwa vikongwe lakini wanaishia kupotezewa tu

Think twice before being a Snitcher/hater

...................................
Ni kupotezea tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom