Makapuku Forum

Makapuku Forum

The Gunners oyeee!!!!!!
1472915741630.jpg
 
Mbeya city hii bado haijaifikia Mbeya City ile ya akina David Burhan, Hassan Mwasapili, Kaseke Deus, Steven Mazanda, Mwigane Yeya, Nonga Paul, Saad Kipanga na wengineooo
Sababu kila zama na kitabu chake kumbuka timu kubwa huziua mdogo kwa kuchukua mastaa wao waliotamba ni km Bayern kule German
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom